Saturday, May 10, 2014

APPLE YAZIDI KUONGEZA THAMANI, SASA YAINUNUA BEATS AUDIO

Kwa mujibu wa mitandao mbali mbali, Kampuni ya Apple imetangaza dili ya kununua kampuni ya Beats by dre kwa jumla ya DOLA BILIONI 3.2  ($3.2 BILIONS), Kampuni ya Beats inamilikiwa na msanii nguli wa HipHop Dr. Dre pamoja na mwanzilishi wa Interscope Jimmy Lovine.

No comments: