Sunday, July 28, 2013

"GOOGLE PLAY" NDIYO APP STORE KUBWA ZAIDI DUNIANI IKIWA NA JUMLA YA PROGRAMU TUMISHI MILIONI MOJA.

Kampuni ya Google mapema wiki hii katika tukio la kuzindua kifaa chake cha chromecast  na tabiti yake mpya ya Nexus 7, Imetoa takwimu ambazo zinaiweka Application store ya “Google play” kuwa ndio App store kubwa zaidi duniani ikiiacha nyuma App store ya Kampuni pinzani kibiashara ya Apple inayojulikana kwa jina la Apple’s app store. “Google play” Ina jumla ya program tumishi (applications) zaidi ya milioni moja, Wakati Apple’s App store ina jumla ya program tumishi laki tisa. Programu tumishi hizo ni pamoja na vitabu vya mtandao (digital books), games, vipindi vya televisheni na mengineyo mengi.

 
 

1 comment:

Anonymous said...

I love Google play