Friday, August 2, 2013

HISTORI YA SMS KWA UFUPI

Na Millard Ayo.(Mwandishi/Mtangazaji Clouds Media)
Ni uhakika yani kwa wakati huu ni mara chache sana watu kutokea kukumbuka tulipotokea kwenye hizi simu za mkononi, ni rahisi kusahau manake kwa sasa kila baada ya muda mfupi utasikia tu kampuni flani ya simu imetangaza toleo jipya la simu ambalo sijui ina internet, unaweza kuwasiliana kwa video na mengine hayo.
Ni rahisi pia kusahau au inawezekana ulikua hujui kabisa, msg ya kwanza (sms) kwenye simu ya mkononi duniani ilianza kutumwa December 3 1992 na ilikua na maneno mafupi yasemayo “Merry Christmas”
Unaambiwa the first text ilitoka kwenye PC kwenda kwenye mobile device over Vodafone’s U.K ambapo aliyegundua ni bwana Matti ambae hata hivyo hajawahi kutengeneza pesa yoyote kutokana na hiyo idea ambayo alianza kuiongelea kwenye mkutano uliohusu mawasiliano mwaka 1984 .
Matti anakubali kwamba wengine ndio wameiendeleza au kuikuza hiyo idea yake ya sms ambapo pamoja na hilo, anaamini kwamba teknolojia ya sms ilizinduliwa mwaka 1994 wakati Nokia unveiled its 2010 mobile phone, device ya kwanza ambayo iliweza kusaidia watu kutuma msg kiurahisi.


No comments: